JESHI LA POLISI LAUNDA TIMU YA MAKACHERO KUCHUNGUZA MLIPUKO WA BOMU ENEO LA MAJENGO MJINI SONGEA.

By | 12:13
                   
Polisi Mkoani Ruvuma wanafanya uchunguzi wa tukio ambalo mtu  mmoja  aliuawa kwa kulipukiwa na bomu alilotaka kuwarushia askari polisi waliokuwa kwenye doria usiku wa  kuamkia leo.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Bwana SAIDI MWAMBUNGU amesema katika tukio hilo polisi wawili pia walijeruhiwa lakini hali zao zinaendelea vizuri.
 
Kwa mujibu wa mkuu huyo wa mikoa watu wanne waliokuwa na mtu huyo ambaye  hajatambuli w a jina lake walikimbia lakini polisi wa l ika ma ta simu za watu hao  na mtu huyo aliyeuawa na bomu.
 
Hilo ni tukio la tatu mkoani Ruvuma kwa polisi kurushiwa mabomu na raia  na  Mkurugenzi wa Mak o sa ya Jinai nchini Bwana ISAYA MUNGULU alikuwa anatarajia kuwasili Songea leo kufuatilia tukio hilo.
Newer Post Older Post Home