Siku za mwizi ni arobaini, huyu zake zilifika hivi.
Jamaa mmoja Australia alifika katika ATM lengo lake likiwa ni kuiba, akategesha kitu ambacho ni kama baruti hivi ili mashine ilipuke aibe pesa.
Polisi wa Jiji la Darwin, Australia ilikotokea tukio hilo wanahisi jamaa huyu anahusika na tukio la namna hiyo ambalo lililotokea siku ya Sikukuu ya Christmas.