UGOMVI WAZUKA KATI YA DREVA TAXI NA MAMA MJAMZITO KATIKATI YA SAFARI.

By | 02:52
                    taxi
Dereva wa taxi alikodishwa na mwanamke ambaye alikuwa ana ujauzito wa miezi kadhaa huko Nigeria, wakiwa njiani ukaibuka utata kati yao, dereva wa taxi akamwambia ashuke wakati hakuwa amemfikisha mahali walipokubaliana.
Baada ya kuibuka vuta nikuvute, mwanamke huyo Feyisara aliamua kumshika nguo dereva aking’ang’ania kubaki ndani ya gari hiyo, mwishowe mwanamke akamshika dereva huyo sehemu za siri, kitendo kilichomkasirisha dereva huyo, akampiga mpaka mwanammke huyo akapoteza fahamu.
Polisi wanafanya uchunguzi wa tukio hilo lakini hadi sasa hakuna mtu yoyote aliyekamatwa.
Newer Post Older Post Home