WABUNGE WA KENYA WAFANYA VURUGU WAKATI BUNGE LA KUJADILI MUSWADA WASHERIA JUU YA USALAMA LIKIENDELEA.

By | 10:55
Kikao cha Bunge la Kenya kilisimama kwa takribani dakika 30 kutokana na kutofautiana kwa Wabunge hao kuhusiana na msimamo wao kutofautiana wakati wakiendelea na mjadala unaohusu mabadiliko ya Sheria ya Usalama wa Nchi hiyo kutokana na kukabiliwa na changamoto mbalimbali kwenye masuala ya Usalama.
Wabunge wa upinzani walipinga muswada huo kwa kutupa karatasi chini, Bunge likaahirishwa ambapo hali ya hewa ilikuwa mbaya na baadaye Wabunge hao kupigana, wengine wakichaniana nguo na hata kuumizana.

 
Ke00
Seneta Johnston Muthama alichaniwa nguo na kuumizwa katika vurugu hizo.
Ke1
Hali ilivyokuwa nje ya Bunge la Kenya leo.
Wabunge wa Upinzani waligomea muswada huo na kuanza kuimba, Bunge hilo likasitishwa.
Newer Post Older Post Home