BECKHAM AAMUA KUSHEREKEA MIAKA YAKE 40 YA KUZALIWA KATIKA BARA LA AFRIKA.

By | 03:54
                         bb
Miaka saba iliyopita mwanasoka mkongwe maarufu duniani David Beckham na mkewe Victoria walirudia viapo vya ndoa yao jijini Marrakech, Morocco.
Wapenzi hawa hawajahi kukutwa na skendo jambo ambalo si kawaida kwa mastaa duniani na pia ndoa yao imekuwa mfano wa kuigwa kwani pia imeweza kudumu kwa muda mrefu mpaka sasa wakiwa na watoto wanne.
                          The Beckham boys, David, Brooklyn, Romeo and Cruz have an exciting night out the Los Angeles Lakers Vs The Phoenix Suns in courtside seats at the Staples Center in Los Angeles, CA. Pictured: David Beckham, Cruz Beckham, Romeo Beckham and Brooklyn Beckham Ref: SPL460437  171112   Picture by:  London Entertainment / Splash Splash News and Pictures Los Angeles: 310-821-2666 New York:  212-619-2666 London:    870-934-2666 photodesk@splashnews.com
Safari hii mwanasoka huyo ambaye anatarajia kutimiza miaka 40 May 2 mwaka huu amepanga kwenda kusherehekea siku yake hiyo na familia yake pamoja na watu wake wa karibu katika visiwa vya Morocco ambapo ni sehemu aliporudia kiapo cha ndoa na mkewe.
Beckham amepanga sherehe yake kuifanyia Kaskazini mwa mji wa Marrackech eneo linaloitwa Amanjena Resort ambapo miongoni mwa watakaohudhuria ni mchezaji mwenzake wa zamani Gary Neville.
Newer Post Older Post Home