HEADLINES KENYA NI UTEUZI AMBAO UMEFANYWA NA RAIS KENYATTA.

By | 10:29
                                                     TZA MAGAZETINI KE

Vichwa vya habari Kenya vimebebwa na stori hii kubwa kwenye ishu ya siasa.. kilichofanya ishu kuwa na uzito zaidi labda ni kitendo cha Rais Kenyatta kumteua ndugu wa Kiongozi wa Chama cha Upinzani  kuongoza moja ya Mashirika makubwa ya Umma Kenya.
Wenwa Odinga, ni dada wa Raila Odinga ambae ni kiongozi wa Chama cha upinzani Kenya cha ODM.. Wenwa ameteuliwa kuingia kwenye Bodi ya Taasisi ya Kenya Medical Research, pamoja na Judy Kibaki mtoto wa Rais mstaafu wa Kenya, Mwai Kibaki.
Hao ni baadhi ya watu ambao majina yao yapo kwenye list ya watu 302 walioteuliwa na Rais Kenyatta.
Newer Post Older Post Home