STORI KUTOKA KIBAHA AMBAKO WATU WALICHIMBA KABURI NA KUIBA VITU VYA MAREHEMU.

By | 13:01
        

AW1A3741
Hii ishu inahusiana na tukio ambalo liliripotiwa kwenye vyombo vya habari ikiwemo Magazeti kuiandika sana.. ilishtua wengi, hata mimi iinishtua pia.. marehemu amefariki, ndugu wamefanya mazishi.. siku chache baadae wakaja watu wasiofahamika wakafukua kaburi na kuiba nguo mabegi mawili ambazo alizikwa nazo marehemu.
Hizi ni picha ambazo nimekusogezea hapa.. ndugu waliamua kulijenga upya baada ya wezi hao kubomoa na kuiba vilivyokuwemo ndani.

AW1A3731
AW1A3735
AW1A3736
AW1A3738
AW1A3741
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limethibitisha tukio hilo, wanawatafuta waliovunja kaburi hilo na kufanya uhalifu wa kuiba nguo na vitu vingine alivyozikwa navyo.
vlcsnap-2015-04-28-17h50m41s139
Shuhuda mmoja amesema walikuta kaburi limechimbuliwa, nguo zimetolewa na nyingine walikuta zimetupwa vichakani ikabidi wazichome moto.
vlcsnap-2015-04-28-17h49m47s112
Shuhuda wa tukio hilo
Newer Post Older Post Home