Serikali
ya China,imepiga marufuku kuvuta sigara katika maeneo yote ya wazi
katika mji wa Beijing. Maelfu ya maafisa wameanza kufanya ukaguzi katika
maeneo yote ya wazi na watakaokiuka kufuata sheria hiyo watapigwa
faini.
Hata hivyo China ina wavuta sigara milioni mia tatu wakati
sheria ya kusitisha wavutaji sigara katika maeneo ya wazi ya mji wa
Beijing ilipopitishwa kwa mara ya kwanza na kushindwa
kutekelezeka.Ripoti inasema kuwa watu wengi wanadhani sheria hiyo ya
kukataza kabisa uvutaji sigara haitafanya kazi.
Popular Posts
-
Mwanaume mmoja nchini Nigeria amefunguliwa mashtaka baada ya kumfungia mke wake nje mpaka asubuhi na kuamua kumbaka mtot...
-
Oral candidiasis can manifest in different ways. Usually, the most common symptom of oral candidiasis is the appearance of charact...
-
Image copyright Getty Images Image caption Mourinho anakabiliwa na shinikizo baada ya Chelsea kushindwa kutamba msimu huu Chelsea im...
-
Wanyama kama mbwa na paka wamekuwa wakithaminiwa sana na watu wa Ulaya, Marekani na kuna wakati unakuta mtu anambeba paka au ...
-
Image caption Dr. John Magufuli akihutubia mikutano ya kampeni ya urais Mgombea urais nchini Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi John P...
-
Kuna tafiti mbalimbali zilizowahi kufanywa, lakini leo nimekuja na hii list ya Marais nane wanaoongoza kwa kuwa na utaji...
-
Nahodha wa timu ya Liverpool ya Uingereza Steven Gerrard ataondoka katika klabu hiyo wakati mkataba wake utakapomal...
-
Jarida namba moja kwa masuala ya fedha – Forbes kutoka nchini Marekani limetoa listi ya wanamichezo walioingiza fedha nyingi z...
-
Sokwe ni binamu wa karibu sana na binadamu. Sokwe wamekuwa na uwezo mkubwa wa usawa miongoni mwao wanasemekana kufahamu hata njia za maw...
-
Steve McClaren ameajiriwa kuifunza klabu ya Newcastle United. Mkufunzi huyo mwenye umri wa miaka 54 anachukua mahala pake John Carver am...