Kutokana na mapenzi makubwa aliyokuwa
nayo kwa mbwa wake huyo, huenda aliona kama iwapo atatangulia kufariki
mbwa wake hatopata upendo kama anaompatia yeye.
Akiwa hai aliomba kama ikitokea yeye akafariki kabla ya mbwa wake basi wazikwe pamoja.
Mbwa huyo aliyepewa jina la Bella, Lay
alitaka azikwe naye ambapo ombi hilo lilipingwa na watu wa haki za
wanyama huku wengine wakitaka kujitolea kumlea mbwa huyo ili aepukane na
adhabu hiyo ya kifo.