TAZAMA HAPA PICHA 6 ZA JUMBA LA ASAMOAH GYAN LENYE THAMANI YA DOLA ZA KIMAREKANI 200,000.

By | 11:16

Picha 6 za jumba la Asamoah Gyan lenye thamani ya bil 6


 



 Asamoah Gyan ni mmoja wa
 wachezaji wanaolipwa vizuri
 kutoka katika bara la Afrika,
 na hakuna uthibitisho mzuri wa
kuonyesha ukubwa wa malipo
 yake zaidi ya ili hii mali mpya
alionunua, jumba kubwa la kifahari.
Mshambuliaji wa Klabu ya Al Ain
ambaye analipwa kiasi cha $200,000
kwa wiki amenunua jumba hilo lenye
thamani inayokadiriwa kufikia dola millioni
3 za kimarekani ambazo zinafikia billioni 6 za kitanzania.
Jumba hilo lipo maeneo ya McCarthy Hills enclave
jijini Accra lina baa mbili, bwawa kubwa la kuogelea.
Lina ghorofa tatu zilizotengenezwa kwa muundo wa kipekee
 kila mmoja huku vifaa vya ulinzi vikiwa vya kisasa ikiwepo
 milango na madirisha yenye bullet proof.
Kwa mujibu taarifa za vyombo vya habari vya Ghana, Gyan
 aliinunua nyumba hiyo aliyoikarabati alipozuru nchini humo
mwezi April wakati alipoenda kutazama pambano la
masumbwi kati Emmanuel Tagoe na Jobert Delos Reyes.


Bwawa la kuogelea


Sehemu ya Ndani ya Nyumba hiyo
 

Sebule ya Nyumba hiyo
 

Inavyoonekana kwa Nje Nyumba hiyo
 

Mojawapo ya vyumba vilivyopo ndani ya Jumba hilo
 

Sehemu ndogo ya Jiko
Newer Post Older Post Home