Nabii huyu hakubaliki kwao tu, Dunia nzima inamkubali na inampa heshima kubwa kwenye soka.
Wamefanya kitu kikubwa kumuenzi staa
huyo wa soka, jumapili ya December 21 kumezinduliwa sanamu kubwa la
mchezaji huyo katika kisiwa hicho.
Copyright (c) 2014-2015 News Satelite.. Design by TubongeTZ.Com