
Walimu saba raia wa Kenya wamejeruhiwa
baada ya kulipukiwa na bomu lililokuwa limetegwa kando ya barabara
Somalia, mtu mmoja alifariki kutokana na mlipuko huo uliokuwa umelenga
basi la shule.
Watu watatu wamefariki na majeruhi
wametajwa kuongezeka kutoka na kuanguka kwa jengo la ghorofa saba huko
Nairobi, Mkurugenzi wa CID Ndegwa Muhoro ameagiza wahusika wote kujisalimisha kituo cha Polisi.