Kuna
tafiti mbalimbali zilizowahi kufanywa, lakini leo nimekuja na hii list
ya Marais nane wanaoongoza kwa kuwa na utajiri mkubwa zaidi ya wenzao
Afrika.
Ukiachilia mbali marais wengi wa Afrika
kupenda kukaa kwa muda mrefu madarakani lakini kuna hili la
kujilimbikizia mali, wengine huzipata kabla ya kuwa marais lakini wengi
wao huzipata wakati wanashikilia madaraka kwa kipindi chote wanapotawala
nchi husika.
Related Items