HUU NDIO USAFIRI MPYA ANAOMILIKI KWA SASA EMMANUEL ADEBAYOR.

By | 06:20
                                tote
Mshambuliaji Emmanuel Adebayor ameonyesha sasa ameingia kwenye list ya wachezaji wa ligi kuu ya England wanaomiliki magari ya kifahari na kudhihirisha kwamba kazi anayofanya inamlipa.
Safari hii Adebayor ambaye ni raia wa Togo ameamua kuonyesha mchuma wake mpya aina ya Rolls Royce alioingia nao kwenye mazoezi ambao una thamani ya paundi 360,000 ambazo ni sawa na fedha za kitanzania zaidi ya milioni 900.
                                       Huu ndio usafiri mpya anaomiliki kwa sasa Emmanuel Adebayor…
Katika ukurasa wa Instagram aliweka ujumbe ukiwa na picha ya gari yake ihiyo uliosema ‘Hasubuhi hii nikielekea mazoezi tayari kwa kazi,nawatakia wiki njema’.
This morning’s ride to training, travel in style and ready to work! Have a good week guys,” Adebayor wrote on Instagram.
adee
Newer Post Older Post Home