Mwaka
2007 huko India kulitokea habari yakushanga kidogo baada ya ndama
kunaswa akimla kuku na kuleta taharuki kubwa kwa wakazi na kuleta
sintofahamu
Hii
tena imetokea huko Kenya na kukaa kwenye headlines baada ya mkulima
mmoja kusema kuwa mmoja wa ng’ombe wake amesusia lishe yake ya kawaida
na kuanza kuwala kondoo wake.
Kulingana na afisa mmoja wa kilimo
alisema huenda tabia ya ng’ombe huyo imetokana na ukosefu wa madini
yanayopatikana kwa mimea mibichi.