Rais Nkurunziza amewataka raia wa Burundi waliotoroka warejee nyumbani kwani kuna amani
Muda mchache baadaye rais Nkurunziza alionekana akicheza mpira na maswahiba wake wa karibu licha ya maaandamano yanayoendelea mjini Bujumbura.
Kumekuwa na hali ya taharuki mjini Bujumbura haswa kutokea jumatano iliyopita baada ya jaribio la mapinduzi dhidi ya rais Nkurunziza
Rais Nkurunziza amehitimu kama kocha wa kandanda.
BBC SWAHILI.