SHEIK MKUU WA WAISLAMU TANZANIA MUFTI ISSA BIN SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA.

By | 01:44
              condolence-messages
Mitandao ya Kijamii imekuwa njia rahisi zaidi kufanya taarifa kuwafikia watu wengi kwa haraka zaidi, kilichokua nafasi kubwa leo ni ishu ya msiba wa Kiongozi wa Dini ya Kiislamu Tanzania.
MICHUZI BLOG kuna stori inayothibitisha msiba wa aliyekuwa  Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa bin Shaaban Simba ambaye amefariki katika Hospitali ya TMJ Dar.

ShekheMkuu
Aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Waislamu Tanzania, Mufti Issa Bin Shaaban Simba
Newer Post Older Post Home