
Siku za nyuma kulikuwa na story ambazo tuliwahi kuzisikia ama watu wazima
wanaweza kukumbuka enzi hizo wazazi wanakuchambulia mchumba au mpenzi
wa kuoa ama kuolewa, hii siku hizi inaonekana kuwa imepungua kwa kiasi kikubwa,
kumbe sio sisi peke yetu wenye tuliowahi kuwa na utamaduni huu.
kwa kunyanyaswa na familia yake tangu mwaka 2009 ambapo
 alifungiwa ndani ya 
chumba na wazazi wake ambao waliamua hivyo kutokana
 na kutopendezwa 
na mtoto wao kuwa na uhusiano na kijana wa kiume ambaye
 wao hawakupendezwa naye.
Wazazi walifanya maamuzi hayo magumu 
kama njia ya kuwatenganisha huku
 wakiwadanganya majirani kwamba msichana
 huyo ana matatizo ya akili ndio  
maana wameamua kumfungia ndani muda 
wote na kumhudumia kila kitu ndani 
ya chumba kwa muda wote huo.

Picha zikionesha nje na ndani ya chumba alichofungiwa Zhang
Majirani wanasema wazazi wake ni wakali 
na hawakutaka jirani yoyote kujihusisha 
na ishu ya msichana huyo hivyo 
ikawa ngumu kujua kama ni kweli ana matatizo ya akili au hapana.
Polisi wanafanya upelelezi juu ya tukio hilo huku msichana huyo pia akifanyiwa uchunguzi wa afya yake.
