
Siku za nyuma kulikuwa na story ambazo tuliwahi kuzisikia ama watu wazima
wanaweza kukumbuka enzi hizo wazazi wanakuchambulia mchumba au mpenzi
wa kuoa ama kuolewa, hii siku hizi inaonekana kuwa imepungua kwa kiasi kikubwa,
kumbe sio sisi peke yetu wenye tuliowahi kuwa na utamaduni huu.
kwa kunyanyaswa na familia yake tangu mwaka 2009 ambapo
alifungiwa ndani ya
chumba na wazazi wake ambao waliamua hivyo kutokana
na kutopendezwa
na mtoto wao kuwa na uhusiano na kijana wa kiume ambaye
wao hawakupendezwa naye.
Wazazi walifanya maamuzi hayo magumu
kama njia ya kuwatenganisha huku
wakiwadanganya majirani kwamba msichana
huyo ana matatizo ya akili ndio
maana wameamua kumfungia ndani muda
wote na kumhudumia kila kitu ndani
ya chumba kwa muda wote huo.

Picha zikionesha nje na ndani ya chumba alichofungiwa Zhang
Majirani wanasema wazazi wake ni wakali
na hawakutaka jirani yoyote kujihusisha
na ishu ya msichana huyo hivyo
ikawa ngumu kujua kama ni kweli ana matatizo ya akili au hapana.
Polisi wanafanya upelelezi juu ya tukio hilo huku msichana huyo pia akifanyiwa uchunguzi wa afya yake.
