Uingereza

Ed Miliband na Nick Clegg walijiuzulu siku ya Ijumaa,pamoja na Kiongozi wa chama cha UKIP Nigel farage kufuatia matokeo mabaya na kuviwacha vyama vyao vikimtafuta kiongozi wa upinzani anayeweza kuuongoza upinzani kuunda serikali mpya.
BBC SWAHILI.