RAIS WA BURUNDI PIERRE KURUNZIZA AKIWA UWANJANI.

By | 08:59


nziza2
Burundi kwa sasa ndiyo nchi inayozungumzia sana kutokana na vita ya kisiasa inayoendelea tangu Rais wake Pierre Nkurunziza atangaze uamuzi wake wa kutaka kuwania Urais kwa awamu ya tatu mfululizo.

nziza
Jaribio la kutaka kumpindua madarakani wakati akiwa Tanzania kwenye mkutano wa usuluhishi pamoja na Marais wengine wanaounga Jumuiya ya Afrika Mashariki halikufanikiwa na sasa uamuzi uliofikiwa ni kuahirishwa kwa uchaguzi wa Wabunge.
pier
Kingine kilichonifikia leo ni kwamba pamoja na machafuko yanayoendelea nchini humo Rais huyo kaonekana yuko zake uwanjani na wenzake akicheza mpira.nziza3
Mtu mmoja amepigwa risasi ya mgongoni na askari wanaolinda usalama katika mji wa Bujumbura wakatiwakiandamana 
.nziza4
Source:Millard Ayo
Newer Post Older Post Home