WABUNGE WAMNG'OA SPIKA WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI KWA KUTOKUA NA IMANI NAYE.

By | 11:13


                         
Spika wa Bunge la Afrika Mashariki Margaret Nantongo Zziwa aondolewa madarakani na wabunge wa Afrika Mashariki baada ya kupigwa kura  ya kutokuwa na imani naye.
Jumla ya wabunge 39 walishiriki katika kikaao cha bunge hilo kilichofanyika asubuhi ya leo chini ya mwenyekiti wa bunge la Afrika mashariki idadi ya kura zilizounga mkono kuondolewa kwa spika huyo  ni 36, mbili zilisema hapana na moja kuharibika.
 
Spika huyo alikuwa akishutumiwa  na wabunge wa bunge hilo kwa kuliendesha vibaya bunge hilo, huku akidaiwa kukiuka kanuni za uendeshaji pamoja na kutowashirikisha wabunge wa bunge hilo katika uamuzi.
Newer Post Older Post Home